Tuesday, January 3, 2012
Wednesday, December 21, 2011
Jipange upya kwa sikukuu za xmas na mwaka mpya ratiba imebadilika
Wakazi waliojenga nyumba zao kandokando ya Mto Msimbazi eneo la Kigogo na Jangwani Barabara ya Morogoro, wamelazimika kuzikimbia nyumba zao baada ya mvua kubwa kunyesha karibu na sikukuu za xmas na mwaka mpya, mvua hizo zimesababisha idadi kubwa ya watu kupoteza maisha na wengine kukosa makazi.
Friday, December 16, 2011
PROFESSIONALISM CORE VALUES
1. Accountability
2. Altruism
3. Compassion/Caring
4. Excellence
5. Integrity
6. Professional Duty
7. Social Responsibility
PERSONAL QUALITIES OF PUBLIC RELATIONS OFFICER
A public relation officer will certainly do some writing.She is almost bound to have to prepare press releases and has to write some articles. She will have to draft letters and draw up reports for his clients. If employed by a large firm he may be asked to write a speech for his chairman, to edit house journals, or to write company brochures or sales literature.
A good Public Relations officer has the ability to marshal facts to summarize the important points and then to express himself clearly in both writing and speech. Her standard of integrity is high. Her facts are people's eyes. She must be able to gain people's confidence, which comes from an understanding of human nature and the imaginative ability to put sense and enthusiasm for the job.
Chuo Kikuu Muhimbili nao wasimamisha wanafunzi 66
SIKU moja baada ya Chuo Kikuu cha Dares Salaam kuwafukuza wanafunzi 43 , Uongozi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas), umewasimamisha masomo wanafunzi 66 kwa tuhuma za kuwa vinara wa vurugu chuoni hapo.Mbali na hatua hiyo, uongozi wa chuo hicho umeeleza kuwa mipango ya vitisho na uvunjifu wa amani chuoni hapo, bado ipo na inaleta hofu kwa walimu na wanafunzi wengine wanaoendelea na masomo.
Thursday, December 15, 2011
Maandalizi ya kuvaa "Nishani Iliyotukuka"
Lazima kwenye acknowledgement nimpaishe msaidizi wangu aliyepata ajira ya kunibebea vitabu hadi kumaliza Chuo.
Subscribe to:
Posts (Atom)



